Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka miongoni mwa wakatoliki
Papa Francis
anatarajia kurahisisha taratibu zinazoruhusu wafuasi wa kanisa katoliki
waliooana kutoa talaka na kuolewa tena huku wakibakia kuwa wafuasi wa
katika kanisa hilo .
Utafiti wa hivi
karibuni uliowachunguza wanafunzi 1000 Korea Kusini umebaini kuwa
asilimia 72 ya watoto wanapata simu wakifikia umri wa miaka 11 au 12.
Wapiganaji wa
kiislamu wa Alshabab wamesema katika maneno yao kuwa linawashikilia
mateka wa kivita kutoka Uganda waliowateka wakati wa mashambulizi ya
wiki iliyopita.