15 Mei 2016

UN: Uhusiano wa Boko Haram na IS ni tishio

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea wasiwasi wake kuhusu kasi ya kuimarika kwa

Kagame akana kuwasaidia waasi Burundi

Rais wa Rwanda Paul Kagame amekana madai yaliotolewa na Umoja wa

Mashabiki 12 wa Real Madrid wauawa na IS Iraq

Wapiganaji wa kundi la Islamic State wameshambulia mgahawa mmoja unaotembelewa na mashabiki wa Real Madrid na kuwaua watu 12.

Korea Kaskazini yazuia meli ya Urusi

Mashua kutoka Urusi imezuiliwa na walinzi wa pwani wa Korea Kaskazini, katika Bahari ya

Mhudumu wa Trump ataka Obama auawe

Huduma ya ujasusi ya Marekani imeanzisha uchunguzi baada ya aliyekuwa muhudumu mkuu wa nyumbani kwa Donald Trump kutaka rais Barrack Obama auawe.

Mwanamke aunda boti lenye umbo la uke wake Japan

Mahakama moja ya Japan imempata msanii mmoja bila hatia ya kutengeza boti iliyofanana na uke wake.

07 Mei 2016

Papa Francis ametunukiwa tuzo

Papa Francis ametunukiwa tuzo ya Charlesmagne ya mji wa Ujerumani wa Aachen. Kwa kutunukiwa zawadi hiyo, jopo linalosimamia tuzo hiyo limetaka kusifu juhudi zake kuleta amani, masikilizano na huruma Ulaya.

Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kupata mikopo

Wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kupata mikopo kutoka kwa bodi ya mikopo kutokana na bajeti kuwa ndogo. Mwenyekiti wa baraza la marais wa vyuo vikuu Tanzania, Boniphace Maiga Juma analizungumzia tatizo hilo katika Kinagaubaga.
http://dw.com/p/1Ij1a

Msichana asiye na mikono ashinda tuzo la muandiko bora


Msichana wa miaka saba aliyezaliwa bila mikono ameshinda shindano la muandiko mzuri nchini Marekani.
Anaya Ellick kutoka Chesapeake,Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.

Kesi ya Mohammed Morsi yaahirishwa

Mahakama ya Misri, imeahirisha kesi ya rais wa zamani, Mohamed Morsi, na watu wengine 10, kwa mashtaka ya kutoa siri za taifa kwa Qatar.

Dini hudhuru wanafunzi, wizara ya elimu China yasema

DiniSerikali katika mkoa wa Gansu, China imeagiza wasimamizi wa shule kutekeleza kikamilifu marufuku ya kutokubalia shughuli zozote za kidini shuleni.

Naibu kamanda wa kundi la mauaji Rwanda akamatwa

Wakuu wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo wanasema wamemkamata naibu kamanda wa

02 Mei 2016

Trump asema Uchina “inaibaka” Marekani


TrumpMgombea mkuu wa chama cha Republican Donald Trump ameshutumu Uchina na kusema imekuwa “ikiibaka” Marekani kupitia sera zake za kibiashara.
Ameambia watu waliohudhuria mkutano wa kisiasa Indiana kwamba Uchina imekuwa ikitekeleza “wizi mkubwa zaidi kuwani kutekelezwa katika historia ya dunia.”
Bw Trump, mfanyabiashara tajiri kutoka New York, amekuwa

Mtaalamu aliyejiita Nakamoto ajitambulisha

WrightMjasiriamali mashuhuri nchini Australia Craig Wright amejitambulisha hadharani kwamba ndiye Satoshi Nakamoto aliyevumbua teknolojia mashuhuri ya sarafu ya mtandaoni ijulikanayo kama Bitcoin.

CIA yashutumiwa mtandaoni kwa sababu ya Osama

OsamaShirika la Ujasusi la Marekani (CIA) limeshutumiwa mtandaoni kwa kusimulia moja kwa moja matukio yaliyopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.

Meli kubwa ya Marekani yaelekea Cuba

 
Meli ya kifahari ya Marekani imeanza safari yake kuelekea Cuba ikitokea nchini Marekani kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miaka hamsini iliyopita.

Binti wa Obama, Malia kusomea Harvard

Mwanaye rais wa Marekani Barack Obama, Malia, amefuzu kujiunga na chuo kikuu cha Harvard.
Taarifa kutoka ikulu ya White House imesema kuwa Malia ambaye amekuwa mapumzikoni baada ya
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728