15 Mei 2016

Mashabiki 12 wa Real Madrid wauawa na IS Iraq

Wapiganaji wa kundi la Islamic State wameshambulia mgahawa mmoja unaotembelewa na mashabiki wa Real Madrid na kuwaua watu 12.
Watu 3 walifyatua risasi katka mgahawa huo wa al_Furat katika mji wa Shia wa Bald nchini Iraq mapema siku ya Ijumaa.
Washambuliaji hao walitoroka na saa chache baadaye huku mmoja wao akajilipua alipokamatwa na wapiganaji wa Shia,na kuwaua wanne wao.
Baada ya kukiri kutekeleza shambulio hilo kundi la wapiganaji wa Islamic State lilisema kuwa shambulio hilo liliwalenga wapiganaji na halikuhusishwa na Real Madrid.

Lakini taarifa kutoka kwa klabu ya Real Madrid ilisema kuwa mashabiki wake 16 waliuawa katika shambulio.
''Klabu hiyo ilisikitishwa sana na shambulio hilo na kutuma rambirambi kwa familia na marafiki wa waathiriwa'',ilisema taarifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728