02 Mei 2016

Meli kubwa ya Marekani yaelekea Cuba

 
Meli ya kifahari ya Marekani imeanza safari yake kuelekea Cuba ikitokea nchini Marekani kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miaka hamsini iliyopita.

Meli hiyo iitwayo Adonia, imebeba abiria wapatao mia saba,imeng'oa nanga kutoka katika bandari ya Miami na inatarajiwa kufika tamati ya safari yake Jumatatu ijayo.
Cuba na Marekani zimerejesha uhusiano baina yao wa kidplomasia mwaka wa jana, ingawaje vita baridi iliyokuwa baina ya nchi hizo ilisababisha hali kibiashara kati yao kuwa ya kusua sua na bado hali si shwari mpaka sasa.
Safari hiyo ya kihostoria kwa njia ya maji imepiga hatua moja kubwa mbele katika kuuimarisha uhusiano huo wa kidlomasia na hii ni baada ya serikari ya Cuba kukubali kuondoa marufuku ya raia wake kuingia nchini Marekani ama kutumia maji kama njia ya usafiri kuingia nchini humo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728