15 Mei 2016

Korea Kaskazini yazuia meli ya Urusi

Mashua kutoka Urusi imezuiliwa na walinzi wa pwani wa Korea Kaskazini, katika Bahari ya Japan, ikiwa na watu watano.
Ripoti zinasema mashua hiyo ilizuiliwa wakati ilipokuwa inarudi Urusi, baada ya kushiriki kwenye mashindano ya mashua.
Wanabalozi wa Urusi wanataka watu waliokuwemo kwenye mashua hiyo waachiliwe huru haraka, na kwa sasa inaomba ruhusa ya kuwazuru.
Kawaida Urusi ni moja kati ya nchi chache, zenye uhusiano wa karibu na Korea Kaskazini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728