07 Mei 2016

Kesi ya Mohammed Morsi yaahirishwa

Mahakama ya Misri, imeahirisha kesi ya rais wa zamani, Mohamed Morsi, na watu wengine 10, kwa mashtaka ya kutoa siri za taifa kwa Qatar.

Kesi za washtakiwa sita pamoja na waandishi wa habari wane, zitapelekwa mbele ya Mufti mkuu, hatua inayoonyesha kwamba wamehukumiwa kifo.
Mufti ataamua kama hukumu hizo zitekelezwe.Bwana Morsi hayumo kati ya washtakiwa hao 6.
Amekabiliwa na kesi kadha tangu jeshi, lilipomtoa madarakani mwaka wa 2013 na amewahi kuhukumiwa kifo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728