22 Septemba 2016

Misaada yaanza kutolewa tena Misri, baada ya kusitishwa

Madhara ya vita SyriaUmoja wa Mataifa umefanikiwa kufikisha misaada ya kibinadamu katika kitongoji kinachokaliwa na waasi cha Moadamiya, Damascus.
Chakula na misaada mingine ya dharura kwa takriban watu elfu 40, ilipakuliwa ikiwa ni ya kwanza nchini humo tangu huduma hizo kusimamishwa kutolewa, kufuatia shambulio la mauaji lililofanywa karibu na mji wa Aleppo.
Mratibu wa Masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa nchini Syria Jan Egeland amesema serikali ya Syria kwa sasa inaandaa vibali zaidi.
Amemtaka Rais wa Syria Bashar al- Assad kuruhusu msafara mwingine wa malori arobaini ambayo inasubiri kuelekea Aleppo kutokea katika mpaka wa Uturuki, na kusema kuwa chakula hicho kinaisha muda wa matumizi yake siku ya Jumatatu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728