26 Oktoba 2014

Chelsea yaapa kuichapa Man United

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa viongozi hao wa ligi ya Uingereza watajaribu kuimarisha mchezo wao dhidi ya Manchester United siku ya jumapili.

Mkufunzi huyo alichezesha kikosi kilichokuwa na mshambuliaji asiyejulikana wakati timu hizo mbili zilipotoka sare ya bila kwa bila msimu uliopita katika uwanja wa Old Trafford.
Lakini baada kushinda mechi 7 kati ya nane ,Mourinho amefurahishwa na mbinu anazotumia.
Chelsea imeanza vyema msimu huu hatua iliowafanya kuwa pointi kumi juu ya Manchester United ambayo imejikokota kuimarisha mchezo wake licha ya kununua wachezaji maarufu chini ya usimamizi wa kocha Louis Van Gaal.
Kocha huyo wa Uholanzi anatarajia kupunguza pengo kubwa la pointi kati yake na Mourinho ambaye alikuwa chini yake akisimamia kilabu ya Barcelona.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728