25 Oktoba 2014
Madrid yafanya kufuru
Hatimaye madrid yafanya kufuru ya kuangusha kipigo cha mabao matatu kwa moja kwa maasimu wao bacelona baada ya kuja na bonge la come back,cristiano akisawazisha na huku pepe akiongeza la pili na baada ya hapo hatimaye benzema akiufunga ukurasa wa mabao na mwisho ubao wa matokeo yakisomeka madrid 3 baca 1


Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni