20 Septemba 2014

SABATO YA TAREHE 20/9/2014 KWAJINA PATHFINDER(WATAFUTANJIA)

Hii ni leo katika kaisa la waadventisa wasabato, vijana kwa jina pathfinder (watafuta njia) vijana wa AY wakionyesha umahiri wao na uwezo wao katika kumtumikia MUNGU aliye hai. Walikuwa wakionyesha mambo mbalilnbali vikiwemo ;mafundisho makuu,kweli katika biblia,kukariri mafungu ya biblia,nyimbo,ngonjera na kupiga kwata kwa kiwango cha juu Watu wamekuwa wakitoa maoni mbalimbali na kuwapongeza watoto hao kwa unahiri wao wa kumtumikia MUNGU huku wazazi wengine wakitoa mwito kwa wazazi wengine kuwaruhusu watoto wao kuhudhuria mazoezi kwa vijana hao ambayo huwa yanatolewa katika siku za jumapili kuanzia saa tatu asubuhi Nachukua nafasi hii kuwaalika watu wote kujongea katika kanisa hili la aadventista wasabato external uweze kujionea jinsi watoto hao walivyo barikiwa uwezo mkubwa katika kumtumikia MUNGU kupitia nguvu zao akili zao ufahamu wao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728