20 Septemba 2014

OPENING UDSM FOR CONTINUING

Kwa wale wanaopenda kula bata habari njema ni hii kufungua chuo kwa wale wa mwaka wa pili na kuendelea ni tarehe 20/10/2014.

Kwahiyo endeleeni kula bata na kukusanya nguvu ili mtakapo rudi muweze kupambana katika masomo yenu nawatakia likizo njema na MUNGU awabariki asanteni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728