16 Septemba 2014

SABATO YA WAGENI

Kanisa la waadventista wasabato External-Ubungo,Dar es salaam limeandaa sabato ya wageni itakayo fanyika siku ya jumamosi tarehe 4 mwezi wa kumi mwaka huu 2014. Wazee wakanisa na washiki wote wa External wanayo furaha kukualika,kuwaalika nyote kuhudhulia katika siku hiyo kuu. kutakuwa na mafundisho makuu ya neno la Mungu,programu mbalimbali za watoto,vijana. Siku hiyo tutakaa pamoja wote tukijumuika kwa chakula cha kimwili na kiroho pia utakuwepo muda au kipindi kizuri cha kuwatunuku zawadi kwa wageni wote watakao hudhulia siku hiyo. Siku hii kuu watu wote mnaalikwa kwa kila kabila,lugha na jamaa alika na wenzako wote tujumuike kwa pamoja tupate mibaraka.Mungu akubariki sana unapopanga kutokukosa mibaraka hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728