08 Aprili 2016

Madiwani Shinyanga wabariki mradi wa mashoga na machangudoa

[​IMG]

Wakati serikali ikiendelea na zoezi la kamata kamata ya wanawake wanaojihusisha na biashara ya ngono “kuuza miili yao” Madiwani wa

Dhoruba ya kashfa ya "Panama Papers"


Dhoruba ya kashfa ya "Panama Papers" inaendelea kufukuta wakati Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron akikiri kwamba alimiliki hisa zenye thamani ya pauni 30,000 katika kampuni ya baba yake iliyoko Panama. Je, Cameron anatakiwa kujiuzulu?

Yanga kutesa nyasi na Al Ahly jijini Dar

YangaKlabu ya Young Africans itashuka dimbani kesho Jumamosi kucheza dhidi ya miamba wa Misri Al Ahly hatua ya 16 bora katika Ligi ya Mabingwa barani Afrika (CAF CL).

Liverpool yatoka sare na Dortmund

 
Divock Origi aliifungia Liverpool bao muhimu la ugenini katika mechi yao ya raundi ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Borussia Dortmund ya Ujerumani.

Tyson Fury kuzichapa tena na Klitschko

Pigano la marudio kati ya Tyson Fury na Wladmir Klitschko litaandaliwa mjini Manchester mnamo mwezi Julai tarehe 9 kulingana na mkufunzi wa bondia huyo wa Uingereza.

Mwanafunzi wa kiume anayepata ''hedhi''

 
George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ''hedhi ya kiume''.

Papa Francis ataka mabadiliko kuhusu familia

Papa FrancisKiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amechapisha mwongozo mpya kuhusu maisha ya familia ambapo anahimiza kanisa litambue zaidi uhalisia wa maisha ya siku hizi.

Simu mpya aina ya Smartphone zaingia Dar es Salaam

 
Kampuni ya Zuri ilio na makao yake mjini Hong Kong imezindua rasmi simu aina ya Smartphone katika soko

Mvulana aokolewa baada ya kutuma ujumbe 'Sipati hewa'

 
Mvulana mmoja raia wa Afghanistan ambaye alikuwa ndani ya lori aliokolewa na maafisa wa polisi wa Uingereza baada ya kutuma ujumbe kwamba anakosa hewa.

Daraja la kuunganisha bara Afrika na Asia kujengwa

Mfalme wa saudia ametangaza kwamba daraja linalounganisha taifa hilo na Misri litajengwa juu ya bahari ya shamu.

Rais wa Chad awania muhula wa tano

Rais wa Chad ambaye ni miongoni mwa marais wa Afrika waliohudumu kwa mda mrefu mamlakani

06 Aprili 2016

Wolfsburg 2-0 Real Madrid: Zidane's men shocked by battling hosts

Wolfsburg 2-0 Real Madrid: Zidane's men shocked by battling hosts

An injury to Karim Benzema added to a poor night for the visitors, whose mistakes were seized upon by the home team as Rodriguez and Arnold did the damage
Real Madrid's hopes of taking the Champions League crown were dealt a blow thanks to exceptional Wolfsburg, who downed the Spanish giants 2-0 to take a commanding lead in the quarter-final tie. 

PSG 2-2 Manchester City: Fernandinho bags vital equaliser to save Fernando's blushes

PSG 2-2 Manchester City: Fernandinho bags vital equaliser to save Fernando's blushes 
The European heavyweights went toe-to-toe in a frantic first-leg encounter in the French capital, with Fernandinho netting an important second to level the scoreline for City

Makala awabana mabosi wa Tanroads Mbeya



Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala

Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono afariki usingizini

 
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha.

Suarez,Vardy na Aubameyang ndio bora Ulaya


Mshambuliaji wa kilabu ya Barcelona Luis Suarez aliyefunga mabao mawili siku ya Jumanne dhidi ya

Burundi yarejesha Rwanda mwili wa Bihozagara

Burundi imesafirisha mwili wa aliyekuwa waziri wa Rwanda kufuatia kifo chake cha ghafla akiwa kizuizini juma lililopita.

Tanzania na Rwanda zafungua ukurasa mpya

 
Rwanda na Tanzania zimeahidi kushirikiana zaidi kibiashara katika ukurasa mpya wa uhusiano baina ya mataifa hayo jirani.

Mamba mkubwa auawa Florida

LightseyMamba mkubwa mla ng’ombe ameuawa katika jimbo la Florida nchini Marekani.
Mnyama huyo alikuwa na uzani wa kilo 360.

Zuma aitisha uchaguzi wa mapema Agosti

Uchaguzi wa majimbo ya Afrika Kusini utafanyika Agosti tarehe 3 mwaka huu.
Rais Jacob Zuma alitangaza tarehe hiyo siku moja tu baada ya kuponyoka kura ya kutokuwa na imani naye bungeni iliyokuwa ikiongozwa na vyama vya upinzani kufuatia kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa mali ya umma na matumizi mabaya ya mamlaka yake na mahakama ya juu zaidi nchini Afrika Kusini.

03 Aprili 2016

Jeshi la Syria lagundua miili 40 huko Palmyra

Jeshi la Syria limegundua kaburi lenye mabaki ya miili kama 40 katika mji wa Palmyra, ambao ulikombolewa kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State, awali juma hili.

Arsenal,Chelsea na Man City zapata ushindi mkubwa

Arsenal imeimarisha matumaini yao ya kuwania taji la ligi ya Uingereza mwaka huu baada ya ushindi mkubwa wa mabao 4-0 dhidi ya Watford.

Wenger: Matamshi ya Ozil hayakubaliki

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa matamshi ya Mesut Ozil kuhusu msimu mbaya wa Arsenal hayakubaliki.

Marekani: Muda unayoyoma kwa Burundi

Afisa wa daraja ya juu wa Marekani, anasema wakati unapita kwa serikali ya Burundi.

Raia wa Tanzania waadhimisha siku ya Usonji


limwengu hii leo umesheherekea siku ya Usonji huku raia wengi nchini Tanzania wakifanya maandamano katika mji wa Dar Es Salaam kuadhimisha siku hiyo.

Obama: Trump haelewi sera za kigeni

Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Donald Trump, hana ufahamu wowote wa sera za kigeni wala maswala ya ulimwengu!
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728