03 Aprili 2016

Marekani: Muda unayoyoma kwa Burundi

Afisa wa daraja ya juu wa Marekani, anasema wakati unapita kwa serikali ya Burundi.

Nchi hiyo imekuwa katika ghasia tangu mwaka jana, pale Rais Pierre Nkurunziza alipoamua kuwania muhula wa tatu wa uongozi.
Mamia ya watu wameuawa tangu wakati huo, na milioni moja wamekimbia.
Marekani na Umoja wa Ulaya zimeiwekea vikwazo Burundi.
Wakati akizuru Burundi, waziri mdogo wa Marekani anayeshughulika na haki za kibinaadamu, demokrasi na ajira, (Tom Malinowski), alisema karibu serikali itapata shida kujiendeleza na kulipa wanajeshi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728