06 Aprili 2016

Burundi yarejesha Rwanda mwili wa Bihozagara

Burundi imesafirisha mwili wa aliyekuwa waziri wa Rwanda kufuatia kifo chake cha ghafla akiwa kizuizini juma lililopita.

Waziri huyo wa zamani bwana Jacques Bihozagara alikamtwa takriban miezi 4 iliyopita na maafisa wa intelijensia wa Burundi kwa tuhuma kuwa alikuwa ni jasusi wa Rwanda.
Kilichosababisha kifo chake hakijabainika hadi kufikia sasa.
Jamaa wa marehemu bw Bihozagara wanataka mwili wake ufanyiwe uchunguzi wa kina ilikubaini chanzo cha kifo chake.
Serikali ya Rwanda imeitaka Burundi ielezee sababu za kukamatwa kwake na chanzo cha kifo chake.
Rwanda inasisitiza kuwa hakuwa jasusi wake na inasema bwana Bihozagara alikamatwa kinyume cha sheria.
Bw Bihozagara aliwahihudumu kama balozi wa Rwanda kabla ya kuteuliwa kama waziri wa maswala ya vijana nchini Rwanda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728