08 Aprili 2016

Mvulana aokolewa baada ya kutuma ujumbe 'Sipati hewa'

 
Mvulana mmoja raia wa Afghanistan ambaye alikuwa ndani ya lori aliokolewa na maafisa wa polisi wa Uingereza baada ya kutuma ujumbe kwamba anakosa hewa.

Mvulana huyo ,ambaye alikuwa akitumia simu aliopewa na shirika moja la wahisani huko Calais,alisema kuwa anakabiliwa na upungufu wa ''Oksijan'' akimaanisha Oxygen {hewa}.
Yeye na watu wengine 14 walipatikana katika kasha baada ya kuwasii kutoka kambi ya wakimbizi ya Calais inayojulikana kama The Jungle.
Maafisa wa Polisi wa Leicestershire wamesema kuwa kundi hilo la wahamiaji lilipatikana ndani ya kasha la lori la huduma za misitu mashariki mwa Leicester.
Maafisa hao wamesema kuwa maafisa wa uhamiaji wameichukua kesi hiyo na kuweka mikakati ya kumlinda mvulana huyo.
Hakuna mtu aliyepelekwa hospitalini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728