08 Aprili 2016

Dhoruba ya kashfa ya "Panama Papers"


Dhoruba ya kashfa ya "Panama Papers" inaendelea kufukuta wakati Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron akikiri kwamba alimiliki hisa zenye thamani ya pauni 30,000 katika kampuni ya baba yake iliyoko Panama. Je, Cameron anatakiwa kujiuzulu?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728