03 Aprili 2016

Raia wa Tanzania waadhimisha siku ya Usonji


limwengu hii leo umesheherekea siku ya Usonji huku raia wengi nchini Tanzania wakifanya maandamano katika mji wa Dar Es Salaam kuadhimisha siku hiyo.

Maandamano hayo yameratibiwa na shule ya Al Muntazar na kushirikisha matabibu, waalimu wanafunzi, Changamoto kubwa ikiwa ni uelewa mdogo miongoni mwa jamii kuhusu ulemavu huo.
Huku wengine wakiuchanganya ulemevu huo na mtindio wa ubongo, wengine wanauhusisha na imani za kishirikina,jambo ambalo limesababisha ugumu katika matunzo ya watoto wenye Usonji" anasema Dr Stella Rwezaura, rais wa chama cha watu wenye Usonji Tanzania
Huduma za kitabibu za elimu bado ni changamoto kubwa, anasema Dr Rwezaura ambaye pia ni mama wa mtoto mwenye Usonji.

Anasema watoto wengi wanatibiwa na matabibu wa magonjwa ya akili huku taifa zima likiwa na shule nane pekee zinazohudumia watoto wenye Usonji
Dokta Rwezaura anaongeza pia kwamba hakuna utafiti maalumu kuhusu Usonji ambao umefanyika nchini Lakini takwimu za nchi Kama Marekani zinaonesha kati ya watoto 60, mmoja atakuwa Na Usonji nchini humo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728