03 Aprili 2016

Jeshi la Syria lagundua miili 40 huko Palmyra

Jeshi la Syria limegundua kaburi lenye mabaki ya miili kama 40 katika mji wa Palmyra, ambao ulikombolewa kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State, awali juma hili.

Kati ya mabaki hayo, kulikuwa na miili ya wanawake na watoto, na baadhi ya miili inaonyesha watu walikatwa vichwa.
Palmyra ilikuwa mikononi mwa IS kwa karibu mwaka mzima, na wakati huo, wapiganaji hao waliuwa watu wengi.
Kati yao ni wanaume 25 waliouwawa katika uwanja maalumu uliojengwa zama za Wa-rumi katika mji huo wa kale.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728