Kati ya mabaki hayo, kulikuwa na miili ya wanawake na watoto, na baadhi ya miili inaonyesha watu walikatwa vichwa.
Palmyra ilikuwa mikononi mwa IS kwa karibu mwaka mzima, na wakati huo, wapiganaji hao waliuwa watu wengi.
Kati yao ni wanaume 25 waliouwawa katika uwanja maalumu uliojengwa zama za Wa-rumi katika mji huo wa kale.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni