08 Aprili 2016

Daraja la kuunganisha bara Afrika na Asia kujengwa

Mfalme wa saudia ametangaza kwamba daraja linalounganisha taifa hilo na Misri litajengwa juu ya bahari ya shamu.

Mfalme Salman alisema katika taarifa kwamba daraja hilo litaimarisha biashara kati ya mataifa hayo mawili.
Alitoa tanagazo hilo wakati wa siku ya pili ya ziara yake katika mji mkuu wa Cairo.Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi alisema kuwa daraja hilo litatajwa baada ya mfalme huyo wa saudia.
Rais Sisi ni mshirika wa karibu wa serikali ya Saudia.
''Tulikubaliana na ndugu yangu rais Abdul-Fattah al-Sisi tujenge daraja linalounganisha mataifa yetu mawili'',alisema mfalme huyo.
''Hii ni hatua ya kihistoria ya kuunganisha mabara ya Africa na Asia na itaimarisha biashara kati ya mabara haya mawili'',aliongezea.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728