13 Agosti 2015

Jack Wilshere mapema zaidi

Jack Wilshere
Meneja wa Arsenal Mfaransa Arsene Wenger amesema kuwa kiungo wa klabu yake Jack Wilshere anatarajiwa kurejea tena dimbani wiki mbili zijazo baada ya
kupata maumivu ya kifundo cha mguu.
Wilshere mwenye miaka 23 aliumia katika mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya Agosti 1 ambapo ilidhaniwa angekaa nje ya uwanja kwa miezi miwili. Lakini Wenger amesema kiungo huyo wa kimataifa wa Uingereza anatarajiwa kupona ndani ya muda mfupi ujao.
Wakati huo huo mchezaji mwenzake Tomas Rosicky aliyefanyiwa upasuaji wa goti anatarajiwa kukaa nje ya dimba kwa miezi miwili. Akiongea kabla ya kukutana na Crystal Palace katika mchezo wa jumapili, Wenger alisema ''Jack atakua nje kwa wiki nne na tiyari zimepita wiki mbili anaendelea vizuri''
Kiungo Rosicky mwenye miaka 34 aliumia mwezi juni alipokua akiitumikia timu yake ya Jamhuri ya Czech iliyomenyana na Iceland katika michuano ya kufuzu Euro 2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728