15 Agosti 2015

Idadi ya waliokufa China yaongezeka

kufa China yaongezeka 
 
Idadi ya watu waliouawa kwenye milipuko mikubwa katika bandari ya Tinjian nchini China siku ya Jumatano imeongezeka hadi watu 85.

Zaidi ya watu 700 walijeruhiwa kwenye milipuko hiyo iliyotokea kwenye ghala moja la kuhifadhi kemikali.
Siku ya Ijumaa utawala nchini China uliamrisha kufanyika ukaguzi wa nchi nzima katika maeneo yanayotumiwa kuhifadhi kemikali na milipuko.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728