27 Agosti 2015

Wanawake waoana nchini Tanzania,kunani?

Wegesa na Nyanswi. Ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.
Wameoana kwa miaka 15.

Wajane wasio na mrithi wa kiume hawawezi kurithi mali.
Wagesa alimuoa Nyanswi kama mkewe ili kutatua tatizo hilo.
Nyanswi ana wavulana kwa hivyo anaweza kurithi kutoka kwa Wagesa.
Wanandoa hao wana wavulana sita,waliozaliwa na ndugu za marehemu mumewe Wagesa.
Utamaduni huu pia ni njia ya kuepuka ghasia za nyumbani.
Asilimia sitini ya wanawake katika eneo hilo wameshuhudia ghasia za vita ama zile za kihisia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728