13 Agosti 2015

Mourinho amtimua daktari wa timu

Eva Carneiro daktari wa Chelsea aliyeketi kushoto
Meneja wa Chelsea,Jose Mourinho anapaswa kuomba msamaha kwa daktari wa timu Eva Carneiro ''kwa kumfedhehesha hadharani'' daktari wa zamani wa
Liverpool amesema.
Peter Brukner ambaye kwa sasa ni ni daktari wa timu ya krikteti ya Australia amesema Mourinho hakuwa sahihi kwa aslilimia mia moja na Carneiro hakuwa na jukumu tofauti na la siku zote.Carneiro mwenye umri wa miaka 41 alimtibu Hazard baada ya kuumia katika mchezo dhidi ya Swansea.
Hali hiyo iliifanya Chelsea kubaki na wachezaji nane uwanjani baada ya mlinda mlango Thibaut Courtois kuzawadiwa kadi nyekundu.Carneiro anaonekana kupoteza nafasi yake kwenye benchi jumapili ijayo katika mchezo dhidi ya Man City baada ya Mourinho kuling'akia benchi lake la huduma ya kwanza kama ''wazembe na wasiojua'' akiongeza kuwa hawakuelewa lolote juu ya mchezo ule.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728