22 Agosti 2015

Rais Nkurunziza aomba utulivu Burundi

Nshimirimana
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameomba utulivu baada ya wapiganaji waliovalia magwanda ya kijeshi kumuua mmoja ya majenerali walio na ushawishi mkubwa serikalini.

Katika hotuba kwa taifa muda mchache tu baada ya shambulio hilo,Nkurunziza aliomba utulivu akisema kuwa kisasi kitamaliza kizazi chote.
Hizi ni baadhi ya nukuu za hotuba hiyo.
''Burundi imempoteza mtumishi mkubwa ,jenerali Adolphe Nshimirimana alikuwa alifanya kazi kwa bidii.Natoa wito kwa idara ya usalama kuanzisha uchunguzi ndani ya wiki moja ili wahalifu watambuliwe na kushtakiwa.Nawataka raia wote wa Burundi kuwa watulivu na kuungana.''

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728