24 Agosti 2015

Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.

Video ya hali ya juu mp3 (3.4 Mb)

Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.

Saa 7 zilizopita
Tanzania ni nchi ya tano Duniani kwa kuwa na watu wenye ugonjwa wa Sickle Cell.
Utafiti unaonyesha kuwa kila mwaka nchini Tanzania takribani watoto elfu kumi na moja huzaliwa na ugonjwa huo.
Moja ya sababu ya ongezeko hilo ni uelewa mdogo juu ya ugonjwa huo unaohusiana na seli za damu kuwa katika umbo nusu.
Sikiliza ripoti ya Arnold Kayanda kuhusiana na ugonjwa huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728