25 Mei 2015

Basi lachomwa Burundi

Basi moja la uchukuzi limechomwa moto mjini Bujumbura Burundi na waandamanaji waliorejea mabarabarani kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
Waandamanaji wanachoma moto magurudumu haswa katika eneo la Kanyosha.
Kitongoji hicho kimekuwa kitovu cha maandamano haya dhidi ya awamu ya tatu ya rais Nkurunziza.
Maandamano mjini Bujumbura

Ireland yahalalisha ndoa za jinsia moja

Raia wa Ireland
Waziri mkuu nchini Ireland Enda Kenny amesema kuwa Ireland ni nchi ndogo iliyo na ujumbe mkubwa baada ya kupiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja.

Baada ya Kutajwa Kama Muigizaji Bora wa Kike Kwenye Tuzo Za TAFA 2015, Irene Paul Ameyasema Haya

Baada ya Kutajwa Kama Muigizaji Bora wa Kike Kwenye Tuzo Za TAFA 2015, Irene Paul Ameyasema Haya
Staa mrembo wa Bongo Movies, Irene Paul  ameibuka mshindi wa tuzo za Tanzania Film Awards  (TAFA) 2015 kwenye kipengele cha muigizaji bora wa kike ‘Best Actress (in Lead Role)’ ambapo alikuwa akichuana na Irene Veda ,Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ , Rose Ndauka na Shamsa Ford.

B.Faso:mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa

Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa leo Burkina Faso
Ripoti za mahakama nchini Burkina Faso zinasema kuwa mwili ambao unakisiwa kuwa wa raisi wa

Ferdinand azungumza kuhusu marehemu mkewe



Rio Ferdinand akiiechezea QPR
Aliyekuwa Nahodha wa timu ya soka ya Uingereza Rio Ferdinand amezungumza kwa mara ya kwanza tangu kifo cha mkewe kilichosababishwa na saratani na kusema kuwa

Drogba kuondoka Chelsea

Drogba
Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba anaihama klabu hiyo kwa mara ya pili.

Kiongozi wa upinzani auawa Burundi

Maandamano Burundi
Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.

Real Madrid yawasiliana na Benitez

Rafael Benitez
Mkufunzi wa kilabu ya Napoli Rafael Benitez ameorodheshwa miongoni mwa makocha wataokumrithi Carlo Ancelotti katika kilabu ya Real Madrid.

Xavi kuihama Barcelona

Xavi Hernandez
Wachezaji wa klabu ya Barcelona watavalia jezi maalum katika mechi yao ya mwisho msimu huu ili kutoa heshima kwa

Ndoa za jinsia moja zaungwa mkono

ireland
Ishara za mapema kutoka kwa kura ya maoni kuhusu uhalalishaji wa ndoa za jinsia moja nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.

Adebayor apewa mda wa kusuluhisha mgogoro

Ummanuel Adebayor
Mchezajii wa kilabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor amepewa mapumziko kwa mara ya pili msimu huu lakini hatma yake katika kilabu ya Spurs haijulikani.

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya
Mamlaka nchini Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab, katika wilaya ya Ijara katika kaunti ya Garissa Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.

23 Mei 2015

Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA

Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUAStaa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.

M'barikiwa Irene Stefani atambuliwa Kenya

Maelfu wakongamana nchini Kenya kumsherehekea mbarikiwa Irene stefani
Maelfu ya Wakatoliki wanahudhuria sherehe mjini Nyeri, Kenya, ya kum'bariki mtawa wa kale kutoka Italia.

David Luiz:'Nimewahi kushiriki ngono'

David Luiz kushoto
Mlinzi wa klabu ya Paris St-Germain David Luiz amevishtumu vyombo vya habari kwa kukosa heshima baada ya

21 Mei 2015

Frank (Mohamedi mwikongi)

Frank (Mohamedi mwikongi)

Frank (Mohamedi mwikongi)

Jina lake halisi ni Mohamedi Mwikongi  ingawa wadau wengi wa bongo movies wanamfahamu kama “Frank”, ni mmoja wa waigizaji wakongwe sana ndani ya tasnia ya filamu nchini. Pamoja na kuwa na mwili uliojengeka vizuri kimazoezi pia Frank ni mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake na ameweza kushiriki katika filamu nyingi sana hapa nchini. Anajulikana na mashabiki wake kama mwigizaji mstaarabu na mpole na mara nyingi kama mtu mwenye busara na maamuzi ya hekima.

Al Shabaab wavamia msikiti Garissa

Al Shaabab waliuteka msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa muda na kuonya wenyeji dhidi ya kuisaidia serikali ya Kenya na ujasusi
Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti

Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamano

Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamano
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya

Lucy Avunja Ukimya Kuhusu Ndikumana

Lucy Avunja Ukimya Kuhusu NdikumanaStaa wa Bongo Movie ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy komba ameamua kuelezea tuhuma zinazomkabili za kua na uhusiano wa kimapenzi na Hamad Ndikumana, aliekua mme wa msanii mwenzake Irene Uwoya.Akizungumza na

16 Mei 2015

Brendan Rodgers hails "irreplaceable" Steven Gerrard following Liverpool captain's final Anfield appearance

Liverpool's Steven Gerrard celebrates with Liverpool manager Brendan Rodgers
On his way: Gerrard will leave Anfield at the end of the season
Brendan Rodgers branded departing Liverpool captain Steven Gerrard "irreplaceable" following his farewell appearance at Anfield.
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728