08 Septemba 2015

50 Cent anajenga Kasri Afrika

 
50 Cent anajenga Kasri Afrika 
 
Rapa wa Marekani 50 Cent amechapisha picha ya nyumba yake mpya iliyoko barani Afrika katika mitandao wa kijamii ya instragram.

Mwanafunzi mwerevu apata alama 0 !


Mwanafunzi aliyepata 0 kwenye mtihani wa mwisho
Maelfu ya wazazi na wanafunzi wamejitokeza kumuunga mkono mwanafunzi mmoja shupavu aliyepata sufuri katika mtihani wake wote wa mwisho.

Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka

Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka miongoni mwa wakatoliki 
 
Papa Francis anatarajia kurahisisha taratibu zinazoruhusu wafuasi wa kanisa katoliki waliooana kutoa talaka na kuolewa tena huku wakibakia kuwa wafuasi wa katika kanisa hilo .

Punda na farasi ni marufuku Nigeria

Jeshi la Nigeria limepiga marufuku matumizi ya farasi na punda katika jimbo la Kaskazini Mashariki la Borno

Je umeambukizwa Nomophobia? Soma utafiti

Je umeambukizwa Nomophobia ?
Utafiti wa hivi karibuni uliowachunguza wanafunzi 1000 Korea Kusini umebaini kuwa asilimia 72 ya watoto wanapata simu wakifikia umri wa miaka 11 au 12.

Al Shabaab wadai kuteka askari wa Uganda

 
Wapiganaji wa Al Shabaab 
 
Wapiganaji wa kiislamu wa Alshabab wamesema katika maneno yao kuwa linawashikilia mateka wa kivita kutoka Uganda waliowateka wakati wa mashambulizi ya wiki iliyopita.

Mpango wa kutega mabomu watibuliwa Kenya

Polisi wa Kenya walipokuwa wakipambana magaidi katika Chuo Kikuu cha Garisa 

27 Agosti 2015

HAPAPATOSHI NDANI YA JIJI LA DAR

Msanii wa kizazi kipya

Saa 2 zilizopita
Neno moja huweza kubadilisha maisha ya mtu, hayo yamemkuta msanii wa muziki nchini Tanzania
Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Abubakar Shaaban Katwila almaarufu Q Chillah aliyekuwa ameathiriwa na dawa za kulevya kiasi cha kushindwa kuendelea kuiburudisha hadhira, ameamua kuitoa siri yake kwa BBC namna alivyoweza kuachana na uraibu, sababu kubwa ni neno aliloguswa kutoka kwa bintiye.
Sikiliza mahojiano yake na Anord Kayanda

Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa

Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa’
Mastaa wa Bongo Movies, Jackline Wolper , Aunt Ezekiel na Shamsa Ford ambao wamekuwa wakimuunga

Rose Ndauka: Nipo Tayari Kuolewa na Yeyote!

Rose Ndauka: Nipo Tayari Kuolewa na Yeyote!ROSE Donatus Anjelus Ndauka ‘mtata’ amesema kama mwanamke aliyekamilika na mwenye kuhitaji heshima katika jamii, yupo tayari kuolewa na kuishi kama mama na mwanaume yeyote.

Muuaji ajiua Marekani

Polisi nchini Marekani imesema muuaji wa Waandishi wawili wa habari nchini Marekani amefariki.
Ujumbe unaoonekana kutumwa na mtu aliyekuwa na silaha nchini Marekani na kuwaua kwa risasi watangazaji hao wawili wa televisheni wakati wa matangazo ya moja kwa moja unaashiria kwamba alikuwa na uchungu kwa kinachoonekana kuwa ubaguzi wa rangi.

Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?

Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?

Marekani yamuonya rais Salva Kirr

 
Salva Kiir
Marekani imemuonya rais wa Sudan Kusini Salva Kirr, kuheshimu na kutekeleza mkataba wa amani aliousaini siku ya Jumatano mjini Juba.

Polisi wanasa sehena ya Silaha Kenya

 
Silaha zilizonaswa Garisa
Maafisa wa Ulinzi wa Kenya wamenasa shehena kubwa ya silaha, kufuatia operesheni ya kuwasaka wapiganaji wa Al Shabaab Kaskazini mwa Kenya.

Usain Bolt bingwa wa dunia wa mita 200

 
Mwanariadha wa Jamaica Usain Bolt, ameshinda medali yake ya pili ya dhahabu, katika mashindano ya riadha ya dunia yanayoendelea mjini Beijing nchini Uchina.

Pistorius kusalia gerezani zaidi

Kamati itakayoamua ikiwa mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius, anapaswa kuachiliwa kutoka gerezani, inatarajiwa kukutana tarehe 18 mwezi ujao.

Miili ya wahamiaji yapatikana Austria

 
Lori lililokuwa na miili ya wahamiaji
Maafisa wa serikali ya Austria wamesema kuwa wa wamegundua miilli ya wahamiaji kadhaa ambayo iliachwa ndani ya lori moja katika mkoa wa Burgenland, karibu na mpaka wa Hungary.

Wanawake waoana nchini Tanzania,kunani?

Wegesa na Nyanswi. Ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.
Wameoana kwa miaka 15.

Waandishi 2 wauawa wakiwa hewani Marekani

Waandishi wawili wa habari wamepigwa risasi katika jimbo la Marekani la Virginia wakati wakifanya mahojiano ya moja kwa moja ya runinga.
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728