24 Desemba 2014

Frank Lampard kusalia Manchester City

Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini anaamini watambakisha kiungo Frank Lampard.

Kiungo huyo mwenye miaka 36 yuko Manchester City kwa mkopo akitokea New York City,lakini Man City wanataka kumbakisha klabuni hapo kwa muda mrefu.
"Frank ni mchezaji muhimu kwa timu natumaini ataendelea kuwepo hapa," alieleza Pellegrini.
Lampard amekua mchezaji muhimu akiwa amefunga magoli 6 katika mechi 15 aliyocheza na anaoneka atakua mbadala wa Yaya Toure ambae ataenda kuliwakilisha taifa lake katika michuano ya kombe la Afrika mwezi Januari.
Man City wanataka kumalizana na Lampard kabla ya timu yke inayomliki hawajaanza na maandalizi ya msimu mpya wa ligi ya Marekani .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728