24 Desemba 2014

Suarez atoa zawadi ya krismasi

mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez ametoa zawadi kwa watoto 500 na familia zao.

Zawadi hiyo ya Suarez kwa watoto hao walio hospitali pamoja na wazazi wao ni kwa ajili ya Krismasi.
Nyota huyo wa zamani wa Liverpool, amefikisha zawadi hiyo kwenye Hospitali ya Pereira Rossell mjini Montevideo, Uruguay.
Pamoja na kugawa zawadi hizo Suarez anayetambulika kwa utukutu, ameandika ujumbe mzuri wa kuwatakia sikukuu njema ya Krismasi, watoto hao pamoja na wazazi wao au wapendwa wao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728