24 Desemba 2014

Waziri mkuu mpya aidhinishwa Somali

Bunge la Somalia limeidhinisha uteuzi wa waziri mkuu mpya akiwa ni afisa wa tatu kuhudumu katika wadhfa huo katika kipindi cha miaka miwili.

Wengi wa wabunge walimpigia kura Omar Ali Sharmarke.
Mapema mwezi huu walipitisha mswada wa kutokuwa na imani dhidi ya aliyekuwa waziri mkuu Abdiweli Sheikh Ahmed,baada ya majaribio matatu ya kutaka kumuondoa madarakani kuambuliwa patupu.
Waandishi wanasema kuwa serikali ililemazwa na vita villivyokuwa kati ya wafuasi wa Abdiweli dhidi ya wale wanaoumuunga mkono rais Hassan Sheikh Mohamud.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728