24 Desemba 2014

Matic asema Chelsea itashinda mataji 4

Mchezaji wa kilabu ya Chelsea Nemanja Matic amesema kuwa anaamini kuwa kilabu hiyo itashinda mataji manne msimu huu.

Hakuna kilabu ambaye imefanikiwa kushinda taji la ligi ya Uingereza,taji la kilabu bingwa barani Ulaya,taji la shirikisho la Ligi ya Uingereza FA na lile la ligi ya Uingereza.
Lakini Matic ambaye alijiunga tena na Chelsea kutoka Benfica kwa kitita cha pauni 21 mwezi Janauari amesema kuwa anaamini inawezekana.
Viongozi hao wa ligi ya EPL wako katika semi fainali ya kombe la Capital cup,wako katika timu 16 za kombe la vilabu bingwa ulaya na bado hawajaanza kampeni ya kombe la shirikisho la Uingereza FA.
Matic anasema kuwa: tuna ubora na imani ,ninaiamini timu yangukwa hivyo hakuna lisilowezekana.
Meneja Jose Mourinho tayari amesema kuwa hana uhakika wa chelsea kushinda mataji manne msimu huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728