27 Agosti 2015

HAPAPATOSHI NDANI YA JIJI LA DAR

Msanii wa kizazi kipya

Saa 2 zilizopita
Neno moja huweza kubadilisha maisha ya mtu, hayo yamemkuta msanii wa muziki nchini Tanzania
Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Abubakar Shaaban Katwila almaarufu Q Chillah aliyekuwa ameathiriwa na dawa za kulevya kiasi cha kushindwa kuendelea kuiburudisha hadhira, ameamua kuitoa siri yake kwa BBC namna alivyoweza kuachana na uraibu, sababu kubwa ni neno aliloguswa kutoka kwa bintiye.
Sikiliza mahojiano yake na Anord Kayanda

Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa

Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa’
Mastaa wa Bongo Movies, Jackline Wolper , Aunt Ezekiel na Shamsa Ford ambao wamekuwa wakimuunga

Rose Ndauka: Nipo Tayari Kuolewa na Yeyote!

Rose Ndauka: Nipo Tayari Kuolewa na Yeyote!ROSE Donatus Anjelus Ndauka ‘mtata’ amesema kama mwanamke aliyekamilika na mwenye kuhitaji heshima katika jamii, yupo tayari kuolewa na kuishi kama mama na mwanaume yeyote.

Muuaji ajiua Marekani

Polisi nchini Marekani imesema muuaji wa Waandishi wawili wa habari nchini Marekani amefariki.
Ujumbe unaoonekana kutumwa na mtu aliyekuwa na silaha nchini Marekani na kuwaua kwa risasi watangazaji hao wawili wa televisheni wakati wa matangazo ya moja kwa moja unaashiria kwamba alikuwa na uchungu kwa kinachoonekana kuwa ubaguzi wa rangi.

Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?

Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?

Marekani yamuonya rais Salva Kirr

 
Salva Kiir
Marekani imemuonya rais wa Sudan Kusini Salva Kirr, kuheshimu na kutekeleza mkataba wa amani aliousaini siku ya Jumatano mjini Juba.

Polisi wanasa sehena ya Silaha Kenya

 
Silaha zilizonaswa Garisa
Maafisa wa Ulinzi wa Kenya wamenasa shehena kubwa ya silaha, kufuatia operesheni ya kuwasaka wapiganaji wa Al Shabaab Kaskazini mwa Kenya.

Usain Bolt bingwa wa dunia wa mita 200

 
Mwanariadha wa Jamaica Usain Bolt, ameshinda medali yake ya pili ya dhahabu, katika mashindano ya riadha ya dunia yanayoendelea mjini Beijing nchini Uchina.

Pistorius kusalia gerezani zaidi

Kamati itakayoamua ikiwa mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius, anapaswa kuachiliwa kutoka gerezani, inatarajiwa kukutana tarehe 18 mwezi ujao.

Miili ya wahamiaji yapatikana Austria

 
Lori lililokuwa na miili ya wahamiaji
Maafisa wa serikali ya Austria wamesema kuwa wa wamegundua miilli ya wahamiaji kadhaa ambayo iliachwa ndani ya lori moja katika mkoa wa Burgenland, karibu na mpaka wa Hungary.

Wanawake waoana nchini Tanzania,kunani?

Wegesa na Nyanswi. Ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.
Wameoana kwa miaka 15.

Waandishi 2 wauawa wakiwa hewani Marekani

Waandishi wawili wa habari wamepigwa risasi katika jimbo la Marekani la Virginia wakati wakifanya mahojiano ya moja kwa moja ya runinga.

Ray Aangua Kilio Ukumbini!

Ray Aangua Kilio Ukumbini!BONGE la soo! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba.

24 Agosti 2015

Umoja wa Ulaya na tatizo la wahamiaji

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamezitaka nchi za Umoja wa Ulaya kufanya kazi pamoja kuweza kukabiliana na tatizo la wahamiaji.
Katika taarifa yao ya pamoja kwa vyombo vya habari mjini Berlin, Kansela Angela Merkel amesema kanuni zilizokuwepo sasa kama vile kuwasajili wahamiaji, hazifuatwi.
Kwa upande wake Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametaka mgawanyo sawa wa wanaoomba hifadhi, kati ya mataifa wanachama.

Uingereza na uhamiaji haramu

Serikali ya Uingereza itatangaza leo Jumanne mapendekezo mapya ya kukabiliana na suala tata la uhamiaji.
Wahamiaji ambao watapatikana wakifanya kazi kinyume na sheria nchini Uingereza na Wales, watakabiliawa na hukumu ya hadi miezi sita gerezani na kupigwa faini ya fedha nyingi.

Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.

Video ya hali ya juu mp3 (3.4 Mb)

Tanzania na ugonjwa wa Sickle Cell.

Saa 7 zilizopita
Tanzania ni nchi ya tano Duniani kwa kuwa na watu wenye ugonjwa wa Sickle Cell.
Utafiti unaonyesha kuwa kila mwaka nchini Tanzania takribani watoto elfu kumi na moja huzaliwa na ugonjwa huo.
Moja ya sababu ya ongezeko hilo ni uelewa mdogo juu ya ugonjwa huo unaohusiana na seli za damu kuwa katika umbo nusu.
Sikiliza ripoti ya Arnold Kayanda kuhusiana na ugonjwa huo.

Arsenal , Liverpool hakuna mbabe

 
Christian Benteke mwenye jezi nyeusi akijaribu kufunga goli bila mafanikio 
 
Mlinda mlango wa Arsenal Petr Cech aliokoa mara mbili mipira ya hatari iliyokuwa ikielekea langoni mwake na kuisaidia timu yake kupata alama moja katika mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Liverpool.

Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania

Video ya hali ya juu mp3 (1.9 Mb)

Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania

24 Agosti 2015 Imebadilishwa mwisho saa 01:37 GMT
Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania zimeanza rasmi juzi. Oktoba 25 wananchi watapiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais
Sikiliza taarifa ya Sammy Awami aliyehudhuria uzinduzi wa kampeni za Chama tawala CCM.

Wachina wanaozungumza kiswahili China

Video ya hali ya juu mp3 (2.1 Mb)

Wachina wanaozungumza kiswahili China

24 Agosti 2015 Imebadilishwa mwisho saa 16:33 GMT
Fatuma Halnur ni baadhi ya Wachina hapa wanaozungumza kiswahili pia. Fatuma, ambaye ni muislamu, ni mwanafunzi katika chuo cha Lugha za kigeni cha Beijing...John Nene amekutana na Fatuma mjini Beijing, na kwanza akamuuliza mbona ameamua kujifunza kiswahili.
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728