Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani
wamezitaka nchi za Umoja wa Ulaya kufanya kazi pamoja kuweza kukabiliana
na tatizo la wahamiaji.Kwa upande wake Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametaka mgawanyo sawa wa wanaoomba hifadhi, kati ya mataifa wanachama.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni