A small church is now under construction in the remote village.
, South Pacific Adventist RecordA small clinic constructed through a Thirteen Sabbath offering just two years ago has resulted in two baptisms, requests for 23 more baptisms, and the establishment of a Seventh-day Adventist congregation in a remote area of Papua New Guinea.
Aliyekuwa mwanasoka wa kimataifa,
raia wa Sierra Leone, Mamadu Alphajor Bah amefariki dunia katika ajali
mbaya ya
Mtandao wa Yahoo umethibitisha kuwa
wadukuzi wamedukua taarifa za zaidi ya watumiaji milioni mia tano katika
akaunti zake za watumiaji.

Umoja wa Mataifa umefanikiwa kufikisha misaada ya kibinadamu katika kitongoji kinachokaliwa na waasi cha Moadamiya, Damascus.












Huduma ya ujasusi ya Marekani imeanzisha uchunguzi baada ya aliyekuwa muhudumu mkuu wa nyumbani kwa Donald Trump kutaka rais Barrack Obama auawe.


Mahakama ya Misri, imeahirisha kesi
ya rais wa zamani, Mohamed Morsi, na watu wengine 10, kwa mashtaka ya
kutoa siri za taifa kwa Qatar.
Serikali katika mkoa wa Gansu, China
imeagiza wasimamizi wa shule kutekeleza kikamilifu marufuku ya
kutokubalia shughuli zozote za kidini shuleni.
Wakuu wa Jamhuri ya Demokrasi ya
Congo wanasema wamemkamata naibu kamanda wa
Mjasiriamali mashuhuri nchini
Australia Craig Wright amejitambulisha hadharani kwamba ndiye Satoshi
Nakamoto aliyevumbua teknolojia mashuhuri ya sarafu ya mtandaoni
ijulikanayo kama Bitcoin.
Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA)
limeshutumiwa mtandaoni kwa kusimulia moja kwa moja matukio
yaliyopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.
Mwanaye rais wa Marekani Barack Obama, Malia, amefuzu kujiunga na chuo kikuu cha Harvard.![[IMG]](https://1.bp.blogspot.com/-kuLLi9AGFpA/VwYy8lZ_x7I/AAAAAAAAHDw/8TKlWbCOtuw6k2A6ESMwaDlggRoFAqEmw/s640/3.jpg)

Klabu ya Young Africans itashuka
dimbani kesho Jumamosi kucheza dhidi ya miamba wa Misri Al Ahly hatua ya
16 bora katika Ligi ya Mabingwa barani Afrika (CAF CL).
Pigano la marudio kati ya Tyson Fury
na Wladmir Klitschko litaandaliwa mjini Manchester mnamo mwezi Julai
tarehe 9 kulingana na mkufunzi wa bondia huyo wa Uingereza.
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani
Papa Francis amechapisha mwongozo mpya kuhusu maisha ya familia ambapo
anahimiza kanisa litambue zaidi uhalisia wa maisha ya siku hizi.
Mfalme wa saudia ametangaza kwamba daraja linalounganisha taifa hilo na Misri litajengwa juu ya bahari ya shamu.
Rais wa Chad ambaye ni miongoni mwa
marais wa Afrika waliohudumu kwa mda mrefu mamlakani

Burundi imesafirisha mwili wa aliyekuwa waziri wa Rwanda kufuatia kifo chake cha ghafla akiwa kizuizini juma lililopita.
Mamba mkubwa mla ng’ombe ameuawa katika jimbo la Florida nchini Marekani.