23 Machi 2015

CHECK IT OUT

Jose Mourinho praised the performance of his side following a hard-fought 3-2 win away at Hull City, a victory which restores our six-point advantage at the top of the Barclays Premier League table.
The Blues had taken the lead inside a minute courtesy of a wonderful Eden Hazard strike, and better was to come when Diego Costa scored his 20th goal of the season to make it 2-0 shortly afterwards.
Two goals in the space of a minute, however, scored by Ahmed Elmohamady and Abel Hernandez, saw Hull restore parity, and it was always going to take a spirited second-half display for us to head back to London with all three points.

Houthi wateka maeneo zaidi Yemen

Maafisa wa usalama nchini Yemen wanasema waasi wa kundi la Houthi wameshikilia maeneo kadhaa ya mji wa tatu kwa ukubwa wa Taiz, ukiwemo uwanja wa ndege.
Taiz ni mji ambao unapakana na mji mkuu wa Sanaa na mji wa kusini wa Aden.
Umekuwa ni mji ambao una vikosi vitiifu kwa rais Abd Rabbuh Mansour Hadi.

SIASA TANZANIA

ZITO ZUBERI KABWE

Siasa za Tanzania kwa hivi sasa zimechukua mkondo mpya baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kujiunga rasmi na chama alichokuwa akihusishwa kwa muda mrefu, chama cha ACT-Tanzania.

Umoja wa Mataifa kumuunga mkono

 Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kumuunga mkono Rais wa Yemen Abed Rabbo Mansour Hadi. Naye mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa wa Yemen, ameonya nchi hiyo itatumbukia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Katika kikao chake cha dharura mjini New York hapo jana, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, pia lilielezea dhamira yake kubwa ya kuunga mkono suala la kuwepo umoja, uhuru na mshikamano wa Yemen, na nia yake thabiti ya kusimama pamoja na watu wa nchi hiyo.

Ulimwengu waomboleza kifo cha Lee Yew


Waziri mkuu mwanzilishi wa Singapore, Lee Kuan Yew amefariki dunia.
Lee amefariki akiwa na umri wa miaka tisini na mmoja kutokana na ugonjwa wa mapafu.
Kwa miongo mitatu ya utawala wa Lee alifanikiwa kuipitisha nchi yake katika kipindi cha mpito na kuleta mabadiliko makubwa
ya kiuchumi hasa katika usafirishaji majini kwa kutumia rasilimali kidogo walizokuwa nazo na sasa kuwa kitovu kikubwa cha kibiashara cha kimataifa.

TUBUNI NAKUITAFUTA NJIA YA HAKI SODOMA HIYOOOOOO HATIMAYE KANISA LAIDHINISHA NDOA YA JINSIA MOJA


Kanisa la Presbyterian nchini Marekani ambalo lina takriban wanachama millioni 2 ,limebadilisha sheria yake ya ndoa na kuwajumuisha watu wa jinsia moja.
Kanisa hilo ambalo linashirikisha idadi kubwa ya wanachama wake duniani lilitoa tangazo hilo baada ya idadi kubwa ya magavana wa majimbo yake 171 kuidhinisha mabadiliko hayo.

Mtoto wa miaka 12 ataka kumuua mamake






Mtoto wa miaka 12 amewashtua wengi baada ya kujaribu kumuua mamake mara mbili kwa sababu alimpokonya simu yake ya Iphone.
Kulingana na afisa anayesimamia usalama katika jimbo la Colorado Marekani mtoto huyo alimtilia sumu mamake kwa nia ya kulipiza kisasi.
Mamake aliripotiwa kuzidiwa hali Machi tarehe mbili baada ya kubugia mchanganyiko wa maziwa na barafu''smoothie'' lakini ikabainika kuwa mchanganyiko huo ulikuwa umetayarishwa kwa aina ya sabuni majimaji.

Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao

Picha ya kushtusha imeachiliwa kwa ulimwengu hivi karibuni picha inayomuonesha mtoto mdogo mwenye umri wa miaka mitano aliye kondeana ,aliyetelekezwa katika sehemu ya chini ya nyumba yao ,aliyefungiwa na kuachwa afe njaa na familia yake.

TAZAMA PICHA ZA MAUAJI YA WAUMINI WA KIKRISTO HUKO PAKISTAN


22 Machi 2015

IS yataka Wanajeshi 100 wa US wauwawe

Jeshi la Marekani linasema kuwa linawajulisha karibia wanajeshi 100 waliotajwa kwenye orodha ya mtandao ulionzishwa na Islamic State unaotaka wauawe.

21 Machi 2015

IS yakiri kushambulia misikiti Yemen

Kundi la Islamic State linasema kuwa wapiganaji wake waliendesha mashambulizi ya kujitoa mhanga kwenye misikiti miwili nchini Yemen ambapo zaidi ya watu 130 waliuawa.
Washambuliaji wanne wa kujitoa mhanga walilenga waumini kwenye mji mkuu Sanaa wakati wa maombi ya Ijumaa.

Mtandao wa kukuza uasherati washtakiwa

Mtandao wa kuwakutanisha wapendanao na unaowalenga watu walio katika ndoa nchini Ufaransa umeshtumiwa kwa kuvunja sheria.
Mahakama moja nchini Ufaransa sasa inatarajiwa kuamua iwapo mtandao huo unawafanya wanandoa kufanya udanganyifu.

Tanzania yapitisha muswada wa ajira

Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa sheria ya udhibiti wa ajira za wageni wa mwaka 2014 ,ambapo pamoja na mambo mengine unaainisha vipengele muhimu vya ajira kwa wageni na wazawa.Hata hivyo bunge hilo limesisitiza serikali kupitia taarifa za waomba ajira wageni ili kubaini uwezo kuhusu ajira wazoomba na mienendo yao kijamii.
Sheria hiyo pia inawataka watanzania kuwepo katika ajira zote kutokana na sifa zao.huku wageni wakianishiwa aina ya ajira kulingana na mahitaji ili kuleta ushindani sahihi katika soko la ajira nchini humo.

Mancity kumtema Yaya Toure na wengine

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City watamuuza Yaya Toure msimu huu katika mpango unaolenga kuwauza wachezaji wengine wa kilabu hiyo kwa lengo la kununua wachezaji chipukizi watakaoongozwa na mchezaji Kevin De Bruyn wa Wolfsburg.
Kushindwa kwa kilabu hiyo na Barcelona katika mechi ya kufuzu kwa robo fainali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya kumethibitisha kwamba mabadiliko makubwa yanahitajika katika kilabu hiyo.

Drake amwendea kinyume Lil Wayne

Msanii wa muziki wa rap nchini Marekani Lil Wayne alikuwa tayari kumshambulia msanii mwenza na rafikiye Drake kwa kumuendea kinyume na mpenzi wake,kulingana na taarifa ya kitabu anachoandika.
Jarida la TMZ nchini Marekani,lilipata taarifa ya mapendekezo ya kitabu hicho ambayo yametumwa katika wachapishaji kadhaa.

Je umetoboa sehemu za siri?soma hapa.

Wanawake wote walioamua kupamba sehemu zao za siri kwa kuzitoboa wanachukuliwa kuwa wamepitia ukatili wa kijinsia ama wamekeketwa kitengo cha afya kimetanabahisha hayo.
Hata kama mtu huyo amefikia umri wa utu uzima na ameyafanya hayo kwa ridhaa yake,bado atahesabika kuwa alipitia ukatili wenye madhara kwa afya yake,na inapaswa kuchukua tahadhari kubwa kuweka kumbu kumbu za watu walio toboa sehemu zao za siri.

MGOGORO WA KIDIPLOMASIA ULIOPO KATI YA TANZANIA NA KENYA


Ni zipi athari za hatua ya shirika la ndege la Kenya Airways kupunguza safari zake kwenda Tanzania kufuatia hatua ya serikali ya Tanzania kuweka vikwazo vya safari hizo kuhusiana na mvutano wa kidiplomsia kati ya nchi hizo mbili za Afrika Mashariki?

17 Machi 2015

ASENAL YAONDOLEWA

Hadi kufikia sasa Manchester City ndio timu ya pekee kutoka England iliyosalia katika ligi ya mabingwa ulaya.
Hii ni Ishara kuwa viwango vya ushindani katika ligi zingine barani ulaya vimeimarika maradufu ama ligi kuu ya England imepoteza makali yake .
Wengine wanahoji kuwa ligi ya EPL inapigiwa debe kupita kiasi .
kwa mtizamo wako ,Kwanini timu za EPL zinashindwa kutamba katika mashindano ya ulaya

PAKISTAN

 
Wakili wa Daktari aliyeisaidia Marekani kumpata kiongozi wa Al Qaeda ,Osama Bin Laden ameuawa mjini Peshawar Pakistan.

Mama wa miaka 100 ahukumiwa jela Kenya

Nchini kenya, bibi mmoja mwenye umri wa miaka 100 amefungwa jela kwa kosa la kukiuka amri ya mahakama kwenye sakata inayohusu ugavi wa ardhi ya jamii.
Ni nadra sana nchini Kenya kwa mtu wenye umri mkubwa kama huo kufungwa jela na huenda hatua hii ikapokelewa kwa mshangao mkubwa na wananchi.
Ngima Gakoromo mwenye umri wa miaka 100 na watoto wake wawili wa kiume kwa sasa wamekamilisha siku 6 katika jela ya Embu kati mwa Kenya.

Mtoto mwenye miaka 3 ana uwezo wa kufanya hesabu za Sekondari na kuongea Kiingereza vizuri


Nilikuwa naperuzi kwenye mitandao maarufu nchini nikakutana na hii habari inayomuelezea huyu Mtoto pichani ambaye ana miaka 3 anaitwa Nice, ana uwezo wa kufanya hesabu za Sekondari kwa uwezo wa kutisha na kuongea kiingereza fasaha kabisa bila kigugumizi. Lakini kichekesho ni kwamba tangu azaliwe hajawahi kwenda shule au kuhudhuria darasa la aina yoyote.

Shambulizi laua 45 Nigeria

Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria
Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria.

16 Machi 2015

AJALI YA BASI

Basi hili mali ya kampuni ya Princess Muro limepata ajali maeneo ya Mbweni. Hadi sasa inaelezwa kuwa ni majeruhi ndio walio wengi na hakuna taarifa za waliopoteza maisha. Limeacha njia na kupinduka mara tatu, kwa mujibu wa taarifa zinazonifikia mida hii.

MABIBO HOSTELI YAWAKA MOTO

Israeli:Chama cha Netanyahu taabani

Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amewaomba wafuasi wake kuzuia serikali ya mrengo wa kushoto kuingia madarakani katika uchaguzi wa hapo kesho Jumanne.

Rwasa alaumu serikali kwa kutaka kumuua mkewe

Nchini Burundi Agathon Rwasa ambaye ni mwanasiasa mashuhuri nchini humo ,aliekua mkuu wa zamani wa chama kikuu cha upinzani FNL amezilaumu idara za
usalama nchini humo kwa kuhusika na jaribio la kutaka kumuuwa mkewe.

LIVAPOOL VS SWANSEA LINE UP

Swansea vs. Liverpool: Team News, Predicted Line-Ups, Live Stream & TV Info
Clive Brunskill/Getty Images 
Liverpool have enjoyed the rare luxury of a week's rest prior to their trip to south Wales to face Garry Monk's Swansea City on Monday evening.

CHELSEA DRAW1-1

Mark Halsey: Matic lucky not to see red in Chelsea draw - and Mourinho knew it
MATIC LET OFF LIGHTLY

Should Nemanja Matic have been sent off against Southampton? Technically, yes. But the situation should have been avoided.

After Matic tripped Sadio Mane early in the second half, Mike Dean reached for his pocket but thought better of it, realising that the Chelsea midfielder was already on a yellow card.

Waziri Chabane afariki Afrika Kusini

Collins ChabaneWaziri wa watumishi wa serikali wa Afrika Kusini, Collins Chabane, pamoja na walinzi wake wawili wamekufa kwenye ajali ya gari.
Gari lao liligongana na lori katika mji wa Polokwane, kaskazini-mashariki mwa nchi.
Bwana Chabane alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama tawala cha ANC na mshirika mkubwa wa Rais Jacob Zuma.
Aliongoza matayarisho ya mazishi ya Nelson Mandela.
Rais Zuma amesema ameshtushwa na kuskitishwa sana na kifo cha rafiki yake ambacho alisema kimeacha pengo kubwa serikalini.

MAN UNITED YAUA SPARS 3-0

Manchester United 3-0 Tottenham: Rooney,Fellaini and Carrick score to tarnish Tottenham Hotspurs Champions League hopes.
Can United overtake ,Manchester City and Arsenal to finish 2nd?

Uingereza yatengeneza basi la kwanza linalotumia kinyesi

Britain’s first “poo bus”, which runs on human and household waste, goes into regular service this month.

Adventist Church Opens First Wellness Center in Crisis-Hit Venezuela

The Seventh-day Adventist Church has opened its first wellness center in Venezuela, offering 60 patient beds, massage rooms, and a swimming pool for water treatments on a forest-covered mountain.
The facility, Centro Integral Adventista de Vida Sana, will provide natural remedies and preventative medicine to the surrounding community of more than 55,000 people and, church leaders said, serve as a testament to the power of God to provide construction materials at a time of economic crisis.

TECHNOLOJIA

Maonesho  makubwa kabisa duniani ya teknolojia ya habari na mawasiliano CeBIT yaanza rasmi leo mjini Hannover, Ujerumani huku kukiwa na ushiriki mdogo wa wataalamu wa Afrika. Una maoni gani kuhusu maonesho haya.

MIZANI VIGWAZA YAHARIBIKA

Mzani wa Vigwaza ambao umezinduliwa mwezi mmoja uliopita na Makamu wa Rais ukiligharimu Taifa Bilioni 11 umeharibika.

Hapa na Pale: JB Atoboa Kuhusu Filamu Yake ya Singnature Ilivyopigwa Chini na Steps

Hapa na Pale: JB Atoboa Kuhusu Filamu Yake ya Singnature Ilivyopigwa Chini na Steps“Leo nimejisikia kuongelea filamu zangu za zamani.samahani kwa picha ya cover lakini hembu tukumbuke, hapa niliwakutanisha Aunt,Wolper,Odama na Cloud112 kwenye filam hii na nyingine ya 14 days nilizitengeneza muda mrefu  sana 2009 lakini nikazipeleka sokoni kwa pamoja, Steps wakasema watachukua 14days tu, hivyo hii signature nikamuuzia Kapico baada ya mwaka 1 aliomba kuinunua tena toka Kapico kwa bei kubwa zaidi.inaitwa signature”. JB amebandika mtandaoni andiko hili.

Papa Francis atoa ishara za kujiuzulu

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amedokeza kwamba huenda akafuata nyayo za mtangulizi wake Papa Benedict kwa kujiuzulu.
Akihojiwa na runinga moja ya nchini Mexico katika sherehe za maadhamisho yake ya pili tangu achaguliwe,Papa Francis amesema kuwa anahisi kwamba uongozi wake katika kanisa hilo hautaendelea kwa kipindi kirefu.
Amesema kuwa hatua ya Benedict kujiuzulu mwaka 2013 ni ya ujasiri na haifai kuchukuliwa kama ya kipekee.
Papa Benedict ndiye kiongozi wa kwanza wa kanisa hilo kujiuzulu tangu papa Gregory wa 12 mwaka 1415.
Papa Francis anasema kuwa anatamani maisha yake ya kuwa muhubiri na angependelea kuzuru maeneo kadhaa bila kujulikana.

09 Machi 2015

ARSENAL YAIPASUA MAN UNITED 2-1

Nacho Monreal
Timu ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la FA baada ya kuwalaza mahasimu wao Manchester United kwa jumla ya mabao 2 -1.

Kim Jong-Un apeleka poda jeshini

Kiongozi Kim
Kiongozi wa kidikteta wa Korea Kusini Kim Jong-Un amejaribu kuonesha namna anavyojali masuala ya kijinsia kwa kuwapelekea askari wa kike poda za kujipodolea ,katika kambia ya kijeshi ya ndege za mashambulizi ya anga aliyoitembelea wakati dunia ikiadhimisha kilele cha siku ya wanawake duniani.

NKURUNZIZA RAISI WA BURUNDI



Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anakabiliwa na shinikizo la kisiasa baada ya jeshi la nchi hiyo kubaini msimamo wake wa kuulinda usalama wa wananchi ikiwa watateremka barabarani kuandamana. Hii ni wakati kanisa katoliki na uwakilishi wa Umoja wa ulaya na ule wa Marekani ukibaini ya kuwa mkataba wa Arusha haumruhusu rais Nkurunziza kugombea muhula mwingine.

07 Machi 2015

WAISLAMU WANAMGEUKIA YESU NA KUMKUBALI KAMA BWANA NA MWOKOZI

Bofya hapa

RYAN GICS AFUNGUKA WAZIWAZI

Rayan Giggs na mkufunzi Louis van Gaal
Naibu mkufunzi katika timu ya Manchester United Ryan Giggs amepinga madai ya mkwaruzano kati yake na mkufunzi wa kilabu hiyo Louis Van Gaal.
Uvumi wa wasiwasi kati ya makocha hao wawili ulizuka baada ya Giggs kukataa kusherehekea bao la ushindi la Ashley Young siku ya jumatano.
Aliyekuwa mchezaji mwenza katika kilabu hiyo Paul Scholes alisema kwamba Giggs amechoka kuwa mkufunzi chini Ya Louis Van Gaal kwa miaka mitatu ijayo.
Lakini Giggs amesema kuwa wawili hao wana ushirikiano mzuri kati yao na kwamba anafurahia kazi yake chini ya mkufunzi Van Gaal.

PRAISE LORD

To follow God's law is an act of faith. For I am not ashamed of the gospel of Christ: for it is the power of God unto salvation to every one that believeth; to the Jew first, and also to the Greek. For therein is the righteousness of God revealed from faith to faith: as it is written, The just shall live by faith (Rom. 1:16-17).
What troubles and problems have you been spared because you have made a commitment by faith to keep God’s law? How different would your life be were you not keeping it?
Sunday: Keep the Law Posted on March 7, 2015 by Sabbath School Lesson Keep the Law Out of 13 occurrences of the word Torah — law or teaching — in the book of Proverbs, four are in Proverbs 28 (Prov....


Wadaiwa kushirikiana na Al-Shabaab

wanajeshi wa ngazi za juu nchini Somalia wanachunguzwa kwa kushirikiana na kundi la wapiganaji wa Alshabaab
Mamlaka nchini Somalia imewakamata wanajeshi wake wa ngazi za juu na kuwatuhumu kwa kushirikiana na wapiganaji wa kundi la Al-shabaab.

03 Machi 2015

Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA

Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA
     
    Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino KomediMujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.

    Mauaji ya Albino ni aibu kwa Tanzania

    RaisI wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete
    Raisi wa Tanzania Jakaya Kikwete ameahidi kumaliza kabisa wimbi la mauaji ya Albino,na kusema kuwa waganga wa jadi wanahusishwa na mauaji hayo na kulitia aibu kubwa taifa lake lililoko Africa Mashariki.
    KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
    KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

    TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

    POSITION DESRIPTION;

    Agricultural Technician

    Qualifications

    Diploma in agriculture

    Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

    apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728