21 Machi 2015

Mtandao wa kukuza uasherati washtakiwa

Mtandao wa kuwakutanisha wapendanao na unaowalenga watu walio katika ndoa nchini Ufaransa umeshtumiwa kwa kuvunja sheria.
Mahakama moja nchini Ufaransa sasa inatarajiwa kuamua iwapo mtandao huo unawafanya wanandoa kufanya udanganyifu.

Je, inakubalika kuwepo kwa mtandao unaokuza uashereti,ambapo uaminifu katika ndoa umewekwa katika sheria za taifa hilo?
Hilo ni swali linalokabili kampuni ya Gleeden ambayo inasifika kwamba ndio kampuni inayowapatia wanawake raha za ziada za nje ya ndoa.
Muungano wa familia za kikatoli ambao umekasirishwa na matangazo ya kampuni hayo umefungua kesi dhidi yake likitaka kujua uhalali wa mtandao huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728