17 Machi 2015

ASENAL YAONDOLEWA

Hadi kufikia sasa Manchester City ndio timu ya pekee kutoka England iliyosalia katika ligi ya mabingwa ulaya.
Hii ni Ishara kuwa viwango vya ushindani katika ligi zingine barani ulaya vimeimarika maradufu ama ligi kuu ya England imepoteza makali yake .
Wengine wanahoji kuwa ligi ya EPL inapigiwa debe kupita kiasi .
kwa mtizamo wako ,Kwanini timu za EPL zinashindwa kutamba katika mashindano ya ulaya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728