
Hii ni Ishara kuwa viwango vya ushindani katika ligi zingine barani ulaya vimeimarika maradufu ama ligi kuu ya England imepoteza makali yake .
Wengine wanahoji kuwa ligi ya EPL inapigiwa debe kupita kiasi .
kwa mtizamo wako ,Kwanini timu za EPL zinashindwa kutamba katika mashindano ya ulaya
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni