07 Machi 2015

Wadaiwa kushirikiana na Al-Shabaab

wanajeshi wa ngazi za juu nchini Somalia wanachunguzwa kwa kushirikiana na kundi la wapiganaji wa Alshabaab
Mamlaka nchini Somalia imewakamata wanajeshi wake wa ngazi za juu na kuwatuhumu kwa kushirikiana na wapiganaji wa kundi la Al-shabaab.

Tayari maafisa 12 wanachunguzwa kwa madai ya kuwasaidia wapiganaji hao kushambulia hoteli ya The SYL katika mji mkuu wa Mogadishu mnamo mwezi Januari.
Ujumbe kutoka Uturuki ulikuwa ukiishi katika hoteli hiyo ukisubiri ziara ya rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan.
wanajeshi wa umoja wa Afrika nchini Somalia
Watu watatu waliuawa katika shambulizi hilo la bomu.
Jeshi la serikali ya Somali linalosaidiwa na vikosi vya Umoja wa Afrika linajaribu kulishinda kundi la Al-shabaab.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728