09 Machi 2015

NKURUNZIZA RAISI WA BURUNDI



Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anakabiliwa na shinikizo la kisiasa baada ya jeshi la nchi hiyo kubaini msimamo wake wa kuulinda usalama wa wananchi ikiwa watateremka barabarani kuandamana. Hii ni wakati kanisa katoliki na uwakilishi wa Umoja wa ulaya na ule wa Marekani ukibaini ya kuwa mkataba wa Arusha haumruhusu rais Nkurunziza kugombea muhula mwingine.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728