17 Machi 2015

Mtoto mwenye miaka 3 ana uwezo wa kufanya hesabu za Sekondari na kuongea Kiingereza vizuri


Nilikuwa naperuzi kwenye mitandao maarufu nchini nikakutana na hii habari inayomuelezea huyu Mtoto pichani ambaye ana miaka 3 anaitwa Nice, ana uwezo wa kufanya hesabu za Sekondari kwa uwezo wa kutisha na kuongea kiingereza fasaha kabisa bila kigugumizi. Lakini kichekesho ni kwamba tangu azaliwe hajawahi kwenda shule au kuhudhuria darasa la aina yoyote.


Hawa ni wale watoto wenye vipaji maalumu hivyo serikali inaweza hata isimsaidie ili kuweza kumwendeleza na hatimae kutimiza ndoto zake na sio kuishia kumwona kwenye vyombo vya habari kisha mwisho wa siku tusijue alipo ishia ni wakati wetu sasa wa kumsaidia maana watoto kama hawa wapo wengi sana mitaani hasa maeneo ya vijijini ila huwa hamna wa kuwaendeleeza na mwisho wa siku hupoteza uwezo wao mkubwa walio zaliwa nao ushauri wangu ni ndio huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728