16 Machi 2015

Rwasa alaumu serikali kwa kutaka kumuua mkewe

Nchini Burundi Agathon Rwasa ambaye ni mwanasiasa mashuhuri nchini humo ,aliekua mkuu wa zamani wa chama kikuu cha upinzani FNL amezilaumu idara za
usalama nchini humo kwa kuhusika na jaribio la kutaka kumuuwa mkewe.

Bibi Rwasa alifyatuliwa risasi jana jioni alipokuwa salon akitengewa nywele.
Tukio hilo limetokea wakati upinzani nchini humo umekuwa ukitaja orodha ya majina ya baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wanaohofia kuwa
watauwawa kabla ya uchaguzi mkuu wa baadaye mwezi juni mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728