16 Machi 2015

Waziri Chabane afariki Afrika Kusini

Collins ChabaneWaziri wa watumishi wa serikali wa Afrika Kusini, Collins Chabane, pamoja na walinzi wake wawili wamekufa kwenye ajali ya gari.
Gari lao liligongana na lori katika mji wa Polokwane, kaskazini-mashariki mwa nchi.
Bwana Chabane alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama tawala cha ANC na mshirika mkubwa wa Rais Jacob Zuma.
Aliongoza matayarisho ya mazishi ya Nelson Mandela.
Rais Zuma amesema ameshtushwa na kuskitishwa sana na kifo cha rafiki yake ambacho alisema kimeacha pengo kubwa serikalini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728