16 Machi 2015

Israeli:Chama cha Netanyahu taabani

Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amewaomba wafuasi wake kuzuia serikali ya mrengo wa kushoto kuingia madarakani katika uchaguzi wa hapo kesho Jumanne.

Alikuwa akihutubia mkutano wa kisiasa wa wafuasi wa vyama vya mrengo wa kulia mjini Tel Aviv.
Netanyahu amesema kuna hatari kubwa kwamba serikali ijayo itaundwa na muungano wa kizayonisti ya mrengo wa kushoto.
Kura ya kutafuta maoni inaashiria kwamba muungano huo unaoongozwa na Isaac Herzog na Tzipi Livni.
Muungano unaongozwa na Tzipi Livni unatarajiwa kuushinda ule unaoongozwa na waziri mkuu wa sasa Benjamin Netanyahu
Muungano huo huenda ukashinda viti vinne zaidi bungeni kukishinda chama cha Netanyahu cha Likud.
Mwandishi wa BBC anasema Netanyahu ametumia mkutano wa jana wa kisiasa kuwakumbusha wapiga kura
kile anachokiona kuwa ndio kitetezi chake kikuu cha uchaguzi - kutoteteleka kwake kwa masuala yanayohusu usalama wa kitaifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728