23 Machi 2015

ZITO ZUBERI KABWE

Siasa za Tanzania kwa hivi sasa zimechukua mkondo mpya baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kujiunga rasmi na chama alichokuwa akihusishwa kwa muda mrefu, chama cha ACT-Tanzania.

Mwanasiasa huyo ambaye jana alikutana na waandishi wa habari na kueleza sababu za kujiunga na chama hicho amekuwa akijadiliwa katika kona mbalimbali kutokana na hatua yake hiyo ambayo wengine wanaitizama kama ni hatua itakayokoleza ushindani mkali kwa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.
Miongoni mwa watu wanaotajwa kuasisi chama hicho kipya ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa Kitila Mkumbo ambaye pia amewahi kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA kabla ya kutimuliwa kwa madai ya kuandaa mkakati wa kuleta mapinduzi katika chama hicho. Una maoni gani kuhusu uwepo wa chama hicho kipya katika uwanja wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728