22 Machi 2015

IS yataka Wanajeshi 100 wa US wauwawe

Jeshi la Marekani linasema kuwa linawajulisha karibia wanajeshi 100 waliotajwa kwenye orodha ya mtandao ulionzishwa na Islamic State unaotaka wauawe.

Kitengo cha kudukua mitandao cha Islamic State kinawataka wale wanaolipendelea kundi hilo kuwaua wale walio kwenye orodha hiyo ambao Islamic State inawalaumu kwa kuendesha mashambulizi ya angani dhidi yake nchini Iraq na Syria.
Majina yao, picha na namba zao zimechapishwa kwenye mitandao.
Kitengo cha ujasusi cha jeshi la wanamaji la Marekani kinasema kuwa tishio hilo halijathibishwa rasmi .
Kitengo hicho kinawataka wanajeshi kuchukua tahadhari kuhusu ujumbe unaowahusu wanaoweka kwenye mitandao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728