03 Machi 2015

ONA MAAJABU HAPA


Kijana Dede Koswara(36) alizaliwa akiwa na muonekano mzuri kama binadamu wa kawaida tu.

Lakini kadri siku zinavyosogea na kuendelea kukua, miguu yake na mikono ilianza kubadilika na kuwa na maumbo kama ya mti.

Hawezi tena kutembea umbali mrefu kutokana na uzito wa mikono na miguu yake.

Madaktari wanasema hali hiyo ilianza kutokea wakati akiwa bado mdogo pale alipojikata kwenye ngozi yake.

Dede Koswara ana upungufu wa chembe hai nyeupe za damu( White Blood cells), ambazo huzuia maambukizi na hutumika kama kinga ya mwili dhidi ya maradhi.

Virusi vilishambulia ngozi yake na kufanya izalishe idadi kubwa ya 'Kretin' ambayo ni Protini inayopatikana kwenye nywele na kucha.
Tazama zaidi hapa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728