“When we read about Creation in Genesis, we run the risk of imagining God was a magician, with a magic wand able to do everything. But that is not so,” he told those gathered for a discussion on “Evolving Concepts of Nature.” “He created human beings and let them develop according to the internal laws that he gave to each one so they would reach their fulfillment.”
21 Juni 2015
Pope Contradicts Genesis Account of Creation, Argues ‘God and Evolution’ Are Compatible
Wanawake wakatazwa kushabikia mechi Iran
Wanaharakati nchini Iran wamekasirishwa na hatua ya kuwazuia wanawake nchini humo kushabikia mechi ya mpira wa wavu ya wanawake dhidi ya Marekani licha ya
Makubaliano ya amani yaafikiwa Mali
Maafikiano ya amani yametiwa sahihi yakiwa na lengo la kumaliza mzozo wa miaka mingi kati ya serikali na waasi wa Tuareg.
Wauawa katika duka la pombe Mexico
Watu waliokuwa na silaha wamevamia duka moja la pombe nchini Mexico ambapo watu 10 waliuawa.
Al Shabaab lawaua maafisa 15 wa usalama
Wanamgambo wamewaua karibu walinda usalama 15 nchini Somalia baada ya kufanya shambulizi katika mji ulio karibu na mji mkuu Mogadishu.
Mapigano makali yaendelea Mogadishu
Mapigano makubwa yameripotiwa kwenye mji kuu wa Somalia Mogadishu baada ya shambulizi la gari la
FBI wachunguza mtandao wa Dylann Roof
Shirika la ujasusi nchini Marekani FBI linasema kuwa linachungzua ujumbe kwenye mtandao ambao
Baada ya Kushambuliwa kwa Kumpa Break Nuh Mziwanda, Shilole Ajibu Mapigo
20 Juni 2015
Kadinda: Wema Anachangamoto Hii Kwenye Siasa
kiongozi mzuri japo changamoto inayomkabili ni kubadilisha mawazo ya watu juu yake hasa kutokana na maisha yake ya ustaa na mapenzi.
“Watu wengi wametokea kumsupport kwa sababu walikuwa wanamsikia baba yake akimtaka aingie kwenye siasa, na wengine walikuwa wanamtaka Wema aingie kwenye siasa,”amesema Martin.
“Lakini ana kazi kubwa ya kuweza kubadilisha watu jinsi wanavyomchukulia. Kwahiyo anachukulia positive kwa sababu watu aliokuwa nao wameweza kumsupport. Lakini
Muuaji wa kanisani Charleston ashtakiwa
Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa la kihistoria la Kiafrika katika mji wa Charleston ameshtakiwa na mashtaka tisa ya mauaji pamoja na
Rais Obama akerwa na mauaji Marekani
Rais Barak Obama amesema mauaji ya watu tisa ndani ya Kanisa la Waafrika Wamarekani katika eneo la
Mauaji yazua mjadala wa ubaguzi US
Utumizi wa neno ''uhalifu wa chuki'' ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaidi.
11 Juni 2015
Kiboko mbilikimo azaliwa Australia
You need to install Flash Player to play this content.
Kiboko mbilikimo azaliwa Australia
10 Juni 2015 Imebadilishwa mwisho saa 10:41 GMT
Kiboko mbilikimo amezaliwa katika hifadhi moja ya wanyama nchini Australia
Huyo ndiye mbilikimo wa kwanza kuwahi kuzaliwa katika kipindi cha miaka 33.
Kiboko huyo anatarajiwa kuwa mrefu wa kimo cha sentimita 70-80.
Aidha anatarajiwa kutimia kilo 250 ambayo ni robo ya kimo na uzani kiboko wa kawaida.
Kiboko hao mbilikimo wako katika hatari ya kuangamia na hivyo wanapewa malezi maalum.
Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti
Sokwe ni binamu wa karibu sana na binadamu.
Sokwe wamekuwa na uwezo mkubwa wa usawa miongoni mwao wnasemekana kufahamu hata njia za
Riyama Ally Ala Shavu, Asaini Mkataba ‘Mnono’ na Kampuni Kubwa ya Filamu Nchini Kenya
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amesaini mkataba mnono wa kucheza filamu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu nchini Kenya.
Cristiano Ronaldo ousts Lionel Messi in Forbes list of highest paid athletes over past 12 months
Cristiano Ronaldo may have fallen behind Lionel Messi on the pitch in recent months but he certainly hasn't dipped below him in the financial stakes.
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kazkakazini mashariki.
Ghana yaahirisha jaribio la chanjo ya Ebola
Serikali ya Ghana imeahirisha jaribio la chanjo ya ebola inayotarajiwa kujaribiwa katika jimbo la Volta kufuatia hofu kutoka kwa wakaazi.
Watalii 8 'walisababisha' tetemeko la ardhi
Raia wanne wa kigeni wamefikishwa mahakamani nchini Malaysia kwa kusababisha tetemeko la ardhi.
Swansea sign Ayew on free transfer
| |
Ghana forward Andre Ayew has joined Swansea City on a free transfer and signed a four-year contract, the Premier League club said on Wednesday.
The 25-year-old has joined from French club Olympique Marseille, where his contract expired at the end of last season, having scored 10 league goals in his final campaign.
Ayew, who has 62 caps for Ghana, has played in four African Nations Cups and two World Cups.
"The project that the club has for the future is very exciting, and when I spoke to the chairman and manager I felt this was the right place for me," Ayew said on the club website.
"I felt that my desire to play in the Premier League and wanting to grow as a player meant that Swansea was the best solution for me in every way.
Kamara achukua kijiji Yanga
Baadhi ya mashabiki waliofika kwenye mazoezi ya Yanga Uwanja wa Karume jana wakimshangilia kiungo mpya wa timu raia wa Sierra Leone, Lansana Kamara.
IN SUMMARY
Lakini mchezaji huyo kwenye mazoezi ya jana Jumatano amefanya jambo ambalo mashabiki walilazimika kumzuia na kumjaza noti.
Mataifa yaombwa kuungana dhidi ya IS
Waziri mkuu wa Australia, Tony Abbott, ameyaomba mataifa ya Asia-Pacific kuungana ili kusaidia katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi.
Real Madrid wanted Thibaut Courtois instead of David De Gea but Chelsea demanded £73m - reports
Real Madrid reportedly wanted to sign Thibaut Courtois instead of David De Gea this summer.
Ngono mchana badala ya chakula
You need to install Flash Player to play this content.
Video ya hali ya juu |
Baadhi ya wananchi wa Uganda wametoa maoni yao kufuatia kauli iliyotolewa na Dokta Simon Lokodo ambaye ni Waziri anayehusika na maadili nchini humo.
07 Juni 2015
Nyalandu atangaza kwa mara ya pili kuwania urais
> Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akitangaza nia kwenye Uwanja wa Namfua Mjini Singida.
Posted Jumapili,Juni7 2015 saa 9:46 AM
KWA UFUPI
Waziri Nyalandu alitangaza nia hiyo kwenye Uwanja wa Namfua Mjini Singida na mwaka jana alitangazia kwenye mkutano ulifanyika kwenye uwanja wa michezo wa Shule ya Msingi Ilongero, Wilaya ya Singida Vijijini.
Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175
Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra.
Barcelona waishinda Juventus 3-1
Barcelona walitawazwa mabingwa wa Ulaya kwa mara ya tano baada ya kuichapa Juventus mabao matatu kwa moja katika mechi kali ya
Raheem Sterling kuelekea Old Trafford?
Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling huenda akaelekea katika kilabu ya Manchester United ,hatahivyo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 ana wasiwasi kuhusu athari za
Watu 400 wafariki katika mto Yangtse
Msemaji wa serikali nchini China anasema kuwa karibu watu 400 wanahofiwa kuaga dunia wakati feri ilipozama kwenye mto Yangtze siku ya jumatatu.
Mwana wa Mugabe apatikana na hatia
Mwana mkubwa wa kiume wa mke wa rais wa Zimbabwe Grace Mugabe amepatikana na hatia ya kuua bila kukusudia na kupigwa faini ya dola 800.
02 Juni 2015
Serikali ya Burundi imesema iko tayari kutafakari ombi

Napoli 2 Higuaín 55′, 64′ Lazio
Napoli2
Higuaín 55′, 64′
Lazio4
Parolo 33′Candreva 45′Onazi 85′Klose 90′
- FT 90 +5
- HT 0-2
Rafael Benitez's last game in charge of Napoli ended in a dramatic defeat to Lazio which cost his side the chance of qualification for the Champions League.
Hamburg scored a 90th-minute equaliser to force extra time before extending their 52-year Bundesliga stay with a 3-2 aggregate win over Karlsruher
Hamburg scored a 90th-minute equaliser to force extra time before extending their 52-year Bundesliga stay with a 3-2 aggregate win over Karlsruher.
After Marcelo Diaz's curled free-kick cancelled out Reinhold Yabo's composed finish, Nicolai Muller turned in with the tie five minutes from penalties.
Arsenal news and transfers: Gonzalo Higuain talks to begin after Gunners make Napoli contact?
Here are all the latest Gunners stories from today's Daily Mirror...
Walcott to seek positional assurances in contract talks
FA Cup Final hero Theo Walcott will discuss where he is to be used and how often as part of his contract talks with Arsenal.
Advisors for Walcott, who has just a year left on his £90,000-a-week deal, will finally sit down with the Gunners this week to talk about a new long-term agreement.
As well as seeking more game time, however, the 26-year-old England forward is keen to find a balance between playing out wide and up front with recent displays strengthening his case.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)