01 Juni 2015

Ndege inayotumia miale ya jua yatatizika

Ndege inayotumia miale ya jua kupaa yatatizika
Safari ya mwisho ya ndege ya kwanza inayotumia nishati ya miale ya jua kupaa angani, imetatizika kutokana na hali mbaya ya hewa.

Ndege hiyo iliondoka mapema Jumapili asubuhi mashariki mwa Uchina, katika safari ya siku sita kuelekea Hawahi, lakini safari hiyo imesitishwa baada ya hali ya hewa kuwa mbaya ilipokuwa kwenye anga ya bahari ya Pacific.
Wataalamu wa utabiri wa hali ya anga, wamemuomba rubani wa ndege hiyo kusitisha kwa muda safari hiyo ili kuruhusu hali ya hewa kuwa shwari, ndipo aendelee na safari yake.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728