11 Juni 2015

Maporomoko yawaua watu 15 Nepal

Maporomoko nchini Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kazkakazini mashariki.

Watu wengi wameathiriika na maporomoko hayo, huku idadi kubwa ya watu ikiwa haijulikani ilipo.
Katika jimbo la Taplejung, afisa wa serikali Surendra Bhattarai, amesema kuwa makundi ya maafisa wa utoaji msaada yamefika katika kingo za mito miwili mikubwa ya Mewa na Tamor, ili kuwatafuta watu ambao walisombwa na maji ya mafuriko.
Hali ya hewa nchini Nepal
Nepal,ndio mwanzo inajizoazoa kutokana na tetemeko baya la ardhi lililotokea mwezi wa Aprili na Mei, ambalo lilisababisha vifo vya zaidi ya watu elfu nane na mia saba.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728